Skip to main content
Skip to main content

Wazazi wa Uasin Gishu walilia haki baada ya washukiwa katika sakata la ufadhili wa masomo kuachiliwa

  • | Citizen TV
    358 views
    Duration: 2:00
    Baadhi ya wazazi waliopoteza fedha zao kupitia mpango uliokumbwa na sakata wa kuwapeleka wanafunzi kusoma nchini Finland na Canada katika Kaunti ya Uasin Gishu wanaendelea kulilia haki kufuatia uamuzi wa Mahakama Kuu ya Nakuru kuwaachilia huru Seneta Jackson Mandago na washtakiwa wengine wawili waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka yanayohusiana na sakata hilo la zaidi ya shilingi bilioni.