- 170 views
Wiki chache baada ya kupitishwa kwa Mswada wa Haki za walemavu wa 2025, kundi la wakurugenzi wanawake kutoka sekta mbalimbali kaunti ya Trans Nzoia, wamezuru shule za watoto wenye mahitaji maalum, wakihimiza wazazi kutowaficha watoto wao bali wawape elimu ili waishi maisha ya heshima na kujitegemea. Wakizungumza katika Shule ya Wasiosikia ya St Columbus mjini Kitale baada ya kutoa misaada ya chakula, sabuni, beseni, sare na SODO, viongozi hao wamesisitiza umuhimu wa kumaliza unyanyapaa na ukatili dhidi ya watoto wenye ulemavu. Mwalimu mkuu wa shule hiyo ameelezea furaha yake kwa msaada huo, huku padri wa Kanisa Katoliki akiwasihi wazazi kuwajumuisha watoto wao katika maisha ya kawaida
Wazazi wahimizwa kutowaficha watoto walemavu
- - Amerucan Golf Day ››
- 17 Aug 2025 - US President Donald Trump on Saturday shifted his campaign to halt the Ukraine war to securing a full peace agreement after a summit with Russia's President Vladimir Putin failed to secure a ceasefire.
- 17 Aug 2025 - Hundreds of Air Canada employees formed picket lines outside major Canadian airports on Saturday, hours after unionized flight attendants walked off the job in a contract dispute that has disrupted travel for tens of thousands of passengers.
- 17 Aug 2025 - Ukraine's Volodymyr Zelenskiy flies to Washington on Monday under heavy U.S. pressure to agree a swift end to Russia's war in Ukraine but determined to defend Kyiv's interests - without sparking a second Oval Office bust up with Donald Trump.
- 17 Aug 2025 - Wiper Patriotic Front leader Kalonzo Musyoka has warned President William Ruto’s administration and potential investors against any attempts to sell or buy the Kenya Pipeline Company.
- 17 Aug 2025 - President William Ruto has gone full throttle in demanding the payment of music royalties in full, saying his administration is committed to supporting the music industry.
- 17 Aug 2025 - Nairobi Member of County Assembly (MCA) representing Kileleshwa ward, Robert Alai, has extended an open invitation to football
- 17 Aug 2025 - PS denies money from e-Citizen platform accounts was stolen
- 17 Aug 2025 - Ruto's shift towards China reveals costly miscalculation on US ties
- 17 Aug 2025 - How background check cost ex-Equity Bank's staff plum job
- 17 Aug 2025 - Court battles bleed billions from public universities