Skip to main content
Skip to main content

Wazazi watakiwa kuwapa wasichana nafasi sawa na wavulana katika elimu

  • | Citizen TV
    228 views
    Duration: 52s
    Mwakilishi wa Kudumu wa Kenya katika shirika la UN-Habitat, Susan Nakhumicha, amewahimiza wasichana kutia bidii katika masomo yao ili kufanikisha ndoto zao huku akiwakashfu baadhi ya wazazi ambao hawathamini elimu ya mtoto wa kike.