20 Feb 2026 1:38 pm | Citizen TV 132 views Duration: 4:11 Wazee wa jamii ya maa wameraiwa kuwahamasisha vijana haswa wanaofuzu kuw amorani kuhusu dhulma za kijinsia. Inaarifiw akuwa asilimia kubwa ya vijana hao hujipata jela kutokana na dhulma zinazoarifiwa na mila potovu