- 408 views
Wazee zaidi ya elfu mbili kutoka koo tisa za jamii ya wasamburu wamekutakana katika eneo la Yamo Samburu ya kati ambapo wamekubaliana kuwalaani vijana wanaotekeleza visa vya uhalifu katika eneo bunge la Samburu Magharibi. Wazazi wa vijana hao wahalifu watalaaniwa pia hatua kali zikichukuliwa dhidi ya wananchi wanaowaficha wahalifu vijijini. Hii ni baada ya visa vya uhalifu haswa mashambulizi ya wizi kuongezeka eneo hilo kwa muda wa miezi michache ambayo imepita. Aidha wazee hao wametoa wito kwa viongozi, serikali ya kaunti pamoja na serikali kuu kuwaunga mkono kwa kurejesha bunduki za polisi wa akiba katika juhudi za kuimarisha usalama eneo hilo.
Wazee wasema watawalaani wezi wa mifugo Samburu
- 2 Jun 2024 - Uganda has rolled out a nationwide yellow fever vaccination campaign to help safeguard its population against the mosquito-borne disease that has long posed a threat.
- 2 Jun 2024 - They were protesting over the Finance Bill 2024.
- 2 Jun 2024 - Israeli forces hammered Rafah in southern Gaza with tanks and artillery Saturday, hours after US President Joe Biden said Israel was offering a new roadmap towards a full ceasefire.
- 2 Jun 2024 - SCHOOLS: Kisumu Day to renew rivalry with Kisumu Boys in sub county finals
- 2 Jun 2024 - Calls to lower cost of living dominate as Kenyans shun fete in counties
- 2 Jun 2024 - Kamabeka dance lights up event as Gachagua becomes 'man of few words'
- 2 Jun 2024 - Questions over death of child in police cells over Sh465 debt row
- 2 Jun 2024 - Shrinking donor funding, vaccine shortages expose Kenya's struggles
- 2 Jun 2024 - President bets on agriculture to drive growth, blasts wastage
- 2 Jun 2024 - Pomp and colour as thousands attend Madaraka fete in Bungoma