Skip to main content
Skip to main content

Waziri Aden Duale awahakikishia walimu suluhu kuhusu kero za bima ya SHA

  • | Citizen TV
    90 views
    Waziri wa afya Aden Duale amewahakikishia walimu kuwa wizara yake inashughulikia malalamishi yao kuhusu matatizo ya utumizi wa bima ya SHA. Waziri duale akisema kuwa zaidi ya maafisa 400 wametumwa kaunti zote nchini kuangazia changamoto wanazopitia walimu kabla ya kuwasilisha ripoti. Walimu walikuwa wametishia kugoma wakisema sha imekuwa ikiwatesa