Skip to main content
Skip to main content

Waziri Mkuu aliyetimuliwa, achaguliwa kuwa Spika

  • | BBC Swahili
    28,586 views
    Duration: 2:07
    Mwanasiasa mashuhuri wa Senegal, Ousmane Sonko, mwenye umri wa miaka 51, amechaguliwa kuwa Spika mpya wa Bunge la Taifa, siku chache baada ya kuondolewa katika nafasi ya Waziri Mkuu na Rais Bassirou Diomaye Faye. Mwandishi wa BBC @beldeen__waliaula na taarifa zaidi - - #bbcswahili #senegal #siasa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw