Waziri Mkuu wa Israeli Netanyahu ahudhuria maziko ya mtoto wa waziri wake
Maziko ya mtoto wa kiume wa waziri katika serikali ya Israeli na mkuu wa jeshi wa zamani Gadi Eizenkot, aliyeuawa katika mapigano huko Ukanda wa Gaza yamefanyika Ijumaa huko kaskazini mwa Tel Aviv.
Gal Meir Eizenkot, umri miaka 25, alikuwa ni komando anayepigana katika eneo la kaskazini ambako majeshi ya Israeli yanapambana na Hamas katika wilaya chache wanazo zishikilia, baada ya Israel kuuteka mji wa Gaza City mwezi uliopita.
Alikuwa kati ya maelfu ya wanajeshi wa akiba walioitwa kuendesha mashambulizi kujibu mauaji ya kuvuka mpaka ya Oktoba 7 na utekaji nyara uliofanywa na Hamas, kikundi cha Kiislam cha Palestina kinacho tawala Ukanda wa Gaza.
Hamas ilisema kijana huyo aliuawa na bomu lililokuwa limewekwa katika handaki la waasi katika wilaya ya Tal al-Zaatar. - Reuters
.#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #GadiEizenkot #wazirimkuu #maziko
18 May 2024
- Raila made his intention clear at a rally in Suna East, Migori County.
18 May 2024
- Details of the investigations on the accused individuals were published in Kenya Gazette.
18 May 2024
- The eight guidelines were issued a week after the reopening of schools.
18 May 2024
- COTU Secretary General Francis Atwoli now says the upcoming meeting of leaders drawn from the Western Kenya region at the Bukhungu Stadium in Kakamega County will rattle the country’s political landscape.
18 May 2024
- Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has cautioned leaders against taking the country back to dark days when politics of ethnicity were commonplace.
18 May 2024
- President William Ruto's allies have come out guns blazing to dismiss the Limuru III meeting that happened on Friday, terming it as a divisive way of trying to push an agenda and undermine the Kenya Kwanza rule.
18 May 2024
- The Vatican on Friday tightened procedures for evaluating reported supernatural events such as weeping Madonnas and blood-dripping crucifixes that have for centuries whipped up the Catholic faithful.
18 May 2024
- The Ministry of Health has warned of possible outbreaks of waterborne diseases and other infections in schools following the recent floods experienced in most parts of the country.
18 May 2024
- Cases of bird flu have been confirmed among wild fowl in western China, the agriculture ministry said on Saturday, as concerns grow over a U.S. outbreak infecting cattle herds.
18 May 2024
- EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
18 May 2024
- Raila made his intention clear at a rally in Suna East, Migori County.
18 May 2024
- Ichung’wah claims statements made at the event were aimed at scuttling President Ruto's development progress.
18 May 2024
- Reading Time: 2 minutes Third Way Alliance party leader Ekuru Aukot has said the security mission deployed to Haiti by Kenya is invalid. Kenya […]