Skip to main content
Skip to main content

Waziri Mudavadi aongoza ujumbe kueleka Moscow

  • | Citizen TV
    1,101 views
    Duration: 2:33
    Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni Musalia Mudavadi amewasili jijini Moscow urusi jioni ya leo na anatarajiwa kuwa na kikao na waziri wa kigeni wa taifa hilo, kujadili kusajiliwa kwa wakenya katika jeshi la Urusi kupigana vita kati ya yake na Ukraine.