- 43 views
Waziri wa afya, Susan Nakhumicha amesema hawataweka kiwango wastani cha michango kwenye hazina ya bima ya taifa ya afya ya jamii. Nakhumicha amesema wale walio na kipato cha juu wanapasa kujiandaa kulipa fedha zaidi ili kufanikisha hazina hiyo huku akitetea manufaa yanayotokana na bima hiyo mpya ya matibabu. Makundi ya watu wanaopata pesa nyingi yakiongozwa na wabunge yalikuwa yanapendekeza kiwango wastani cha shilingi elf-5 kama mchango kwa hazina hiyo ya afya.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Waziri Nakhumicha: Hakutakuwa na kiwango wastani cha michango kwenye hazina ya bima ya afya ya jamii
- 15 May 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has unveiled his much-anticipated political outfit, the Democracy for the Citizens Party (DCP).
- 15 May 2025 - The petition, filed as Bench Petition No. E565 of 2024, was scheduled for May 15, 2025.
- 15 May 2025 - Nandi County Senator Samson Cherargei has opined that Kenya's opposition's expected launch of a new political faction will not successfully topple President William Ruto from power.
- 15 May 2025 - Kenya is among 59 nations that are expected to benefit from the deal.
- 15 May 2025 - On Wednesday, Nairobi County shut down the freemasons church over land rate arrears.
- 15 May 2025 - Two Kenyan voters are seeking interim conservatory orders to suspend any consideration, vetting, or approval of the seven nominees by the National Assembly.
- 15 May 2025 - The man argued that the constitutional changes would improve executive stability and enhance institutional coherence.
- 15 May 2025 - Lawmakers in the United States Senate are questioning Kenya’s loyalty to America following President William Ruto’s recent trip to China.
- 15 May 2025 - Moi University has issued redundancy letters to hundreds of employees as it reports that the institution is over staffed.
- 15 May 2025 - Police officers could be seen shooting in the air to disperse the crowd.