- 148 views
Waziri wa Kawi Opiyo Wandayi amezindua rasmi mpango wa kuweka umeme mashinani maeneo ya Mugirango kaskazini, Nyamira Kusini na Kitutu Masaba. Kwenye mpango huo unaotekelezwa na shirika la REREC, zaidi ya familia 580 zinanuiwa kuunganishwa na huduma za umeme, kando na vibanda zaidi ya 50 vya kupima majani chai na maeneo mengine ya umma. Wenyeji na viongozi wa eneo hilo aidha wameomba serikali kuhakikisha kwamba kila mwananchi amepata huduma hizi bila ubaguzi, kwani maeneo mengi ya Nyamira Kaskazini yangali bila huduma hizi
Waziri Opiyo Wandayi azindua mpango wa usambazaji umeme kaunti ya Nyamira
- 12 Jul 2025 - The family of Julia Njoki is demanding justice for their daughter as they remain unconvinced about the circumstances surrounding her death after the Saba Saba protests.
- 12 Jul 2025 - In a sharp rebuttal, Kindiki described the claims as “laughable” and “a clear sign of panic” within opposition ranks.
- 12 Jul 2025 - Kenya Power has announced scheduled power interruptions in several parts of the country on Sunday, July 13, 2025,
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has reappointed former judge of the East African Court of Justice Charles Nyachae as the Chairperson of the Kenya School of Government for a three-year term.
- 12 Jul 2025 - ." Boakai confirmed his education was indeed in Liberia.
- 12 Jul 2025 - A Director at Mara Ndovu Lodge Limited was arraigned before the Milimani Law Courts over charges of defrauding an unsuspecting victim out of Ksh.48.8 million in a sham investment deal.
- 12 Jul 2025 - Petitioner says by stepping aside Lagat should be deemed to have resigned.
- 12 Jul 2025 - The victim, an Ethiopian national, was reportedly attacked with a kitchen knife following a disagreement with a co-worker.
- 12 Jul 2025 - A US citizen was beaten to death and a Palestinian shot and killed when Israeli settlers attacked Sinjil.
- 12 Jul 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has declared that the government will unleash the same energy used to combat