- 437 views
Wizara ya afya imetangaza mabadiliko katika bima ya afya ya SHA. Waziri wa afya Deborah Barasa amesema serikali imeongeza malipo yatakayotolewa kwa wagonjwa waliolazwa katika vyumba vya wagonjwa wanaohitaji huduma za ICU na HDU. Fedha hizo zikiongezwa kutoka shilingi 4,600 hadi shilingi elfu 28.....Mbali na hayo malipo ya huduma za matibabu kwa wanaougua saratani yameongezwa kutoka shilingi laki 4 hadi elfu 550 kwa kila familia ili kusaidia wanaoathirika. Tangu kuzinduliwa kwa mfumo wa SHA miezi mitano iliyopita, changamoto nyingi zimeripotiwa, ila Waziri akisema serikali inaweka juhudi za kuhakikisha maswala yaliyoibuka yanatatuliwa..
Waziri wa afya Dkt. Deborah Mlongo Barasa atangaza kuongeza kwa malipo kwa SHA
- 13 May 2025 - Emotions ran high at the Nakuru High Court as the family of the missing fisherman Brian Odhiambo broke down in tears after the six Kenya Wildlife Service (KWS) officers accused of abducting him months ago were granted bail.
- 13 May 2025 - The protest, spearheaded by Democratic Action Party–Kenya (DAP-K) leader Eugene Wamalwa, Trans Nzoia Governor George Natembeya, and politician Cleophas Malala, drew hundreds of sugarcane farmers and residents from across the region.
- 12 May 2025 - The move follows a resolution passed by the National Assembly on February 13, 2025.
- 12 May 2025 - The appellate court ruled that bench that allowed Kindiki's swearing-in was illegally empanelled
- 12 May 2025 - Parts of Nairobi will face power interruption from 9 am to 5 pm
- 12 May 2025 - Nairobi County’s Receiver of Revenue, Tiras Njoroge, has confirmed that a comprehensive mapping of buildings to be clamped due to land rates defaulting has been completed today. Speaking at the Nairobi Customer Care Centre, Tiras stated that with the…
- 12 May 2025 - Former Philippines president Rodrigo Duterte has been re-elected as mayor of the city of Davao, the family’s stronghold, despite being imprisoned thousands of miles away in The Hague for alleged crimes against humanity. With more than 60 per cent of…
- 12 May 2025 - Among the leaders present at the banquet is former Prime Minister Raila Odinga
- 12 May 2025 - Homa Bay Town Member of Parliament (MP) Peter Kaluma has slammed former Deputy President Rigathi Gachagua over his recent claims that Orange Democratic Movement (ODM) party leader Raila Odinga has neglected the Gusii community. Taking to his official X…
- 12 May 2025 - Speaking on Monday during a joint press conference with Finnish President Alexander Stubb, who is in Kenya for a three-day official visit, President Ruto responded to questions from journalists regarding the recent cases of abductions.