- 2,674 views
Hali ya suitafahamu ilishuhudiwa katika afisi za wizara ya Afya baada ya aliyekuwa afisa mkuu wa KEMSA Andrew Mulwa, kuripotiwa kufika kazini kuchukua jukumu lake jipya kama mkuu wa idara ya udhibiti w amagonjwa ya zinaa na ukimwi - NASCOP - . Hii ni licha ya uteuzi wake kukomeshwa na waziri wa Afya Debrah Mulongo. Hata hivyo, Katibu wa wizara ya Afya Harry Kimtai ambaye alitekeleza uajiri huo uliosababisha aliyekuwa mkuu wa NASCOP kuelekea katika kituo cha kuangazia maslahi ya wakongwe nchini, amesema kwamba alitekeleza mabadiliko hayo kisheria.
Waziri wa afya na katibu wake watofautiana
- - Duniani Leo ››
- 19 Aug 2025 - Vehicles used to smuggle goods to be handed to the State, says judge
- 19 Aug 2025 - DPP challenges the acquittal of terror suspects in explosives case
- 19 Aug 2025 - Justice on sale: How racketeers at Busia courts are exploiting suspects, widows
- 19 Aug 2025 - Parliamentary group meeting turned stormy due to leaders' sustained accusations of bribery against the National Assembly.
- 19 Aug 2025 - Group C- Painful exit awaits either Uganda, Algeria, or South Africa
- 19 Aug 2025 - What was presented to rice farmers as a solution to weeds has now become a nightmare.
- 19 Aug 2025 - It is important for Kenyans who intend to apply for a U.S. visa to be aware of recent
- 19 Aug 2025 - Auditor cites inaccurate record keeping, unsupported expenditures as among the challenges.
- 19 Aug 2025 - He’s reportedly determined to uncover who sidelined him and why, given his influential position.
- 19 Aug 2025 - Land has a vital role in sustaining human communities, nurturing diverse ecosystems, and regulating the climate of our planet.