- 1,803 views
Utata umeendelea kugubika mdahalo wa ushuru wa nyumba huku sasa Waziri wa ujenzi na nyumba Alice Wahome sasa akiwatahadharisha waajiri dhidi ya kusitisha malipo hayo. Waziri Wahome anasema kuwa kukubaliwa kwa ombi la serikali la kuendelea kukusanya pesa hizo hadi tarehe kumi mwezi januari, waajiriwa wote sharti wawasilishe makato ya mishahara kama ilivyo ada. haya yanajiri huku Viongozi wa vyama vya Wafanyikazi nchini wakitoa onyo kwa Waajiri dhidi ya kujumuisha ushuru wa ujenzi wa nyumba za bei nafuu kwenye mishahara.
Waziri wa ardhi Alice Wahome asema makato ya ushuru wa nyumba sharti yalipwe
- - Thika | AREA CODE ››
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - The Catholic church has changed its rules on judging miracles as it seeks to avert scandals. The rules come into effect on Sunday, May 19.
- 18 May 2024 - Man luckily survived the fall but he suffered broken limbs
- 18 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Emmanuel Wanyonyi, Wycliffe Kinyamal, and Emmanuel Korir wi*l clash in the Diamond League‘s 800m race in M**occo on Sunday, May […]
- 18 May 2024 - The floods have also killed thousands of cattle, destroyed some 2,000 houses
- 18 May 2024 - The county has set two conditions for landowners who want to enjoy the waiver.
- 18 May 2024 - The MPs urged Kenyans to disregard claims of a rift in the ruling party.
- 18 May 2024 - At least 50 people are dead following a fresh bout of heavy rain and flooding in central Afghanistan, an official said on Saturday.
- 18 May 2024 - Some of the affected landowners include individuals as well as county offices.