- 232 viewsWaziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken Jumatano alichagua chombo kisichotarajiwa cha diplomasia – guitar lake. Shabiki wa muziki wa kipindi chote cha maisha yake ambaye amegeuka kuwa mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa Marekani alionyesha ujuzi wake wa kucheza guitar wakati akizindua juhudi mpya za diplomasia ya muziki itayotumiwa na Marekani kupeleka wasanii maarufu nchi mbalimbali, ikiwemo China na Saudi Arabia. #US #music #China #saudiarabia #blinken #voanews#diplomacy #DepartmentofState - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani akicheza guitar kujenga diplomasia
- 2 May 2024 - Three senior officials of the National Cereals and Produce Board (NCPB) charged in the fake fertilizer scandal have been freed on Ksh.1 million cash bail each.
- 2 May 2024 - The government of Kenya on Thursday warned that the Coastal region is likely to be hit by a tropical cyclone now christened ‘Hidaya’ within the next few days.
- 2 May 2024 - Police in Nairobi have arrested a man over his alleged involvement in the supply of 161,000kg of fake gold, which led to duping a Georgian national of over Ksh.822.2 million.
- 2 May 2024 - Kenya Power has announced a blackout affecting most parts of the country due to what it termed as a system disturbance,
- 2 May 2024 - Kenya Power has announced a blackout affecting most parts of the country due to what it termed as a system disturbance,
- 2 May 2024 - Over 1,000 households in Kibra Constituency affected by the ongoing floods on Wednesday received food distributions from First Lady Rachel Ruto.
- 2 May 2024 - The Kenya Meteorological Services has issued a continued heavy rainfall and strong winds advisory starting from Thursday through to Monday next week.
- 2 May 2024 - KenGen has allayed fears of Masinga Dam bursting its banks due to the ongoing heavy rains amidst fears of an overflow.
- 2 May 2024 - Kindiki said the evacuations will be conducted strictly between 6am to 6.30pm.
- 2 May 2024 - Efforts to impeach Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi gained pace on Thursday after the National Assembly formed a Select Committee to investigate allegations against him.