Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza aeleza sababu za kusitishwa ufadhili Gaza
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza David Cameron aliwasili Jumatano katika ghala la polisi mpakani Bulgaria karibu na Uwanja wa Ndege wa Sofia, ambako polisi wa Bulgaria wanahifadhi maboti yaliokusudiwa kutumika katika uvukaji mpaka haramu kupitia lango la English Channel ambapo polisi wa Bulgaria waliyakamata kwa msaada wa Uingereza.
Wakati akijibu swali kuhusu kusitishwa ufadhili Gaza, Cameron aeleza:
“Tunacho taka kufikia ni uhakika kamili kuwa hili halitatokea tena. Inabidi tuweke wazi hapa, kuwa inavyoelekea ni kana kwamba kulikuwa na watu wanaofanya kazi [katika shirika la Umoja wa Mataifa linaloshugulikia misaada kaskazini mwa Gaza], UNRWA, ambao walishiriki katika shambulizi la Oktoba 7 dhidi ya Israel. Hili halikubaliki. Ndiyo maana tulisitisha ufadhili wetu, na ndiyo maana uchunguzi huu unafanyika.
Tunataka ufanyike kwa haraka, kwa sababu kuna wafanyakazi wengi wa UNRWA wanaofanya kazi muhimu kabisa ndani ya Gaza, ambako ndiyo mtandao pekee wa kusambaza misaada, kuhakikisha tunawafikishia misaada watu wanaouhitaji kwa dharura ya hali ya juu."
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran #davidcameron #bulgaria
12 Aug 2025
- The Kenyan is expected in Nairobi on Sunday.
12 Aug 2025
- The bank will be created before the year ends.
12 Aug 2025
- The drivers were told to suspend their trip until further notice.
12 Aug 2025
- The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has revoked a Privately Initiated Proposal (PIP) to construct the Nairobi-Mombasa (Usahihi) expressway.
12 Aug 2025
- The agreement was reached during the 7th Session of the Kenya–Iran Joint Commission for Cooperation (JCC) held in Nairobi, co-chaired by Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and Iran’s Minister of Agricultural Jihad, Dr. Gholamreza Nouri Ghezalcheh.
12 Aug 2025
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has recovered public land in Kakamega valued at Ksh.20 million belonging to the Ministry of Housing.
12 Aug 2025
- Senior Principal Magistrate Dolphina Alego dismissed the request, ruling that Khatwani had failed to present sufficient justification for the release of his travel document, which is currently held in court as part of his bail conditions in a Sh356…
12 Aug 2025
- Dagoretti North MP Beatrice Elachi has called for more stringent and unpredictable checks on public servants’ wealth declarations, saying the current system is easily circumvented and ineffective in fighting corruption.
12 Aug 2025
- The Kenyan is expected in Nairobi on Sunday.
12 Aug 2025
- Man's lifeless body discovered in a police cell within hours of his arrest.
12 Aug 2025
- The bank will be created before the year ends.
12 Aug 2025
- The drivers were told to suspend their trip until further notice.
12 Aug 2025
- The High Court on Tuesday dismissed a petition challenging the appointment of PSC Vice Chairperson Mary Kimonye and commissioners Boya Molu, Irene Asienga, and Francis Meja.