Skip to main content
Skip to main content

Waziri wa mazingira asema misitu haijanyakuliwa na miradi ya makazi ya bei nafuu

  • | Citizen TV
    44 views
    Waziri wa Mazingira nchini , Deborah Barasa, amekanusha madai ya uvamizi wa misitu, akisema hakuna makazi ya bei nafuu yanayojengwa ndani ya misitu. Akizungumza katika kituo cha uzalishaji miche upande wa Ngong kaunti ya kajiado , Waziri huyo alisema miundo inayoonekana ni ya muda kwa ajili ya maafisa wa HUDUMA KWA VIJANA NYS wanaosaidia katika upandaji na ukuzaji wa miche.