Skip to main content
Skip to main content

Waziri wa usalama asema polisi hawakufahamishwa kuhusu mkutano wa ODM Kajiado

  • | Citizen TV
    5,611 views
    Duration: 1:15
    Waziri wa Usalama wa kitaifa Kipchumba Murkomen amesema kuwa polisi hawakufahamishwa mapema kuhusu mkutano ulioongozwa na Katibu Mkuu wa ODM, Edwin Sifuna eneo la Kitengela kaunti ya Kajiado jumapili iliyopita.