- 1,671 viewsDuration: 2:44Waziri wa zamani Raphael Tuju ameapa kuendelea kupigania kipande chake cha ardhi cha ekari 27 kilichoko Karen licha ya kupigwa mnada. Kwa mujibu wa Tuju, kiasi cha fedha anachodaiwa na benki ya maendeleo ya afrika mashariki ni kidogo sana ikilinganishwa na thamani ya mali hiyo.