Mombasa ni mji mkuu wa pili Kenya ukiwa na zaidi ya watu milioni
1.5. Licha ya mji huo kuzungukwa na bahari wenyeji wanakabiliwa na uhaba
mkubwa wa maji safi na salama ya kunywa. Katika kukabiliana na uhaba huo shirika la Marekani la Give Power limejenga viwanda vya kusafisha maji vikitumia teknolojia ya kisasa. Ungana na mwandishi wetu wa Kenya Amina Chombo kwa taarifa kamili...
#majisafi #majisalama #majiyakunywa #uhaba #maji #teknolojia #nishatiyajua #kenya #mombasa #voa #voaswahili #dunianileo
21 Jan 2025
- The connections are part of a broader electrification effort for the entire Western region, which has already seen thousands of homes connected to the national grid in Bungoma, Busia, and Vihiga counties.
21 Jan 2025
- Four suspects accused of hijacking, kidnapping and robbing a retired senior government official last year have been arraigned at Kangundo law Courts.
21 Jan 2025
- Two days after protests erupted in Elburgon, Molo, following the murder of activist Richard Otieno, homicide detectives from the DCI headquarters have taken charge of the probe.
21 Jan 2025
- The Cabinet has approved sweeping reforms that will see 42 State corporations considered to have related or overlapping functions merged and reduced into 20 agencies
21 Jan 2025
- Environment, conservation and climate change crusaders in Kenya have continued to blow the whistle on how Kenya's development plans are pushing forests to the brink.
21 Jan 2025
- Police IG Douglas Kanja now says he will honour court summons regarding the mysterious disappearance of three men, who were reportedly abducted by suspected government agents in December.