Skip to main content
Skip to main content

Wetangula apinga madai ya wabunge kula rushwa

  • | Citizen TV
    1,848 views
    Duration: 1:45
    Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetangula amekanusha madai ya Rais kuwa wabunge na haswa wanakamati wa kamati mbalimbali za bunge wanaitisha rushwa ili kuputisha miswada au kuwaondolea lawama viongozi.