- 1,067 views
Hali ya taharuki imetanda katika kijiji cha Lolmolog, kaunti ya Samburu, baada ya wezi wa mifugo kushambulia kijiji hicho na kutoweka na mbuzi zaidi ya 240. Aidha wavamizi hao walimpiga risasi mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 18 ambaye kwa sasa yuko hali mahututi katika hospitali ya Maralal. Wezi hao waliokuwa wamejihami waliwazuia wakazi kutoka nje walipokuwa wakiiba mifugo hao. Japo polisi eneo hilo wanasema kuwa hawajapokea habari kuhusu kisa hicho, wakazi wanaitaka idara ya usalama kuwatuma maafisa zaidi kushika doria na kuhakikisha kuwa mifugo walioibwa wamerejeshwa
Wezi wa mifugo wavamia kijiji cha Lolmolog na kuiba mbuzi 240
- 3 Jul 2025 - Boniface Kariuki Mwangi, a street vendor known for selling face masks, died from severe head injuries caused by a single close-range gunshot. An autopsy conducted today revealed that four bullet fragments remained lodged in his brain, evidence of the…
- 3 Jul 2025 - In a bid to tighten its control over the media, the government has introduced stringent rules to regulate live broadcasts. The proposals, termed by a section of Members of Parliament as draconian, seek to muzzle the media.
- 3 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki says the nation’s security and stability will be guarded by all means possible for faster development and prosperity.
- 3 Jul 2025 - The National Police Service (NPS) has summoned blogger Ndiang'ui Kinyagia to present himself at the Directorate of Criminal Investigations (DCI) Headquarters to record a statement, following his unexpected reappearance from what was widely reported as a…
- 3 Jul 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has filed a suit seeking to recover prime public land in Eldoret’s Central Business District, estimated to be worth Ksh.200 million.
- 3 Jul 2025 - President Ruto is quietly overseeing the construction of a massive church within the grounds of State House.
- 3 Jul 2025 - Police said the deceased died after the pick-up they were travelling in was involved in a self-accident
- 3 Jul 2025 - “We will not allow violence to destabilise this government. We will serve Kenyans across the divide regardless of their tribe. We are one Kenya.”
- 3 Jul 2025 - Muhia said the ongoing registration of inmates with SHA in Kenyan prisons is nearing the 60,000 mark
- 3 Jul 2025 - Gitau’s leadership at the SRC spans an impressive 13 years.