- 40 views
Katika takriban kila dakika ishirini, mkenya huaga dunia kutokana na ugonjwa wa saratani, na hivyo inamaana kuwa zaidi ya vifo 28,000 huripotiwa kila mwaka. Hii ni zaidi ya asilimia 50 ya visa vya saratani vinavyogunduliwa kila mwaka nchini Kenya. Kwa kushirikiana na wadau kama vile kampuni ya dawa ya Roche inayotengeneza dawa za kutibu saratani, wizara ya afya inakusudia kuhakikisha aina zote za ugonjwa wa saratani zinagunduliwa katika hatua za awali, kama mojawapo ya malengo yake kabla ya kongamano la saratani mnamo februari mwaka ujao..
Wizara inafanyia majaribu ya kimatibabu ya dawa ya saratani
- - Duniani Leo ››
- 14 Jul 2025 - The two leaders command a solid support base key in determining the presidential contest.
- 14 Jul 2025 - How trigger-happy police officers conceal evidence that incriminates them
- 14 Jul 2025 - I'm not the dad: Man wants name removed from birth certificate
- 14 Jul 2025 - Missed vaccination risks a child's life as eradicated diseases return
- 14 Jul 2025 - Ruto's multiple problems and why they are not likely to fizzle out soon
- 14 Jul 2025 - Missing bullets in demo victims spark questions
- 14 Jul 2025 - Syphilis infections rise sharply with women most hit
- 14 Jul 2025 - With IEBC in place, country prepares for mini elections
- 14 Jul 2025 - Why State has resorted to terrorism charges
- 14 Jul 2025 - Kenya's exports brace for Sh13b blow as Trump tariffs resume