- 362 views
Kaunti 20 nchini ziko kwenye hatari ya maambukizi ya virusi vya Ebola vilivyoathiri watu 36 nchini Uganda kufikia sasa. Kwenye kikao kuhusu mikakati ya kuthibiti maambukizi ya virusi hivyo nchini, Mkurugenzi wa afya Dr.Patrick Amoth anasema wizara ya afya imeweka mikakati ya kutosha kuhakikisha Kenya inasalia salama na virusi hivyo hatari. Miongoni mwa mikakati ni kuwapima wanaoingia nchini kupitia kaunti za mpakani.
Wizara ya afya inasema imeweka mikakati murwa kuzuia Ebola
- 1 Jul 2025 - The government is now appealing to parents, religious leaders, and community elders to take a more proactive role in guiding young Kenyans toward peaceful and lawful means of civic engagement.
- 1 Jul 2025 - The decision, made amid mounting public pressure on the state's response to the unrest, was confirmed in a statement issued Monday by Health Cabinet Secretary Aden Duale.
- 1 Jul 2025 - The autopsies, conducted at Kilome MNH Hospital Mortuary, revealed that Garson Mutisya, 33, and Makau Mualuko, 23, sustained fatal gunshot wounds to the chest, with the bullets exiting through their backs.
- 1 Jul 2025 - A 92-year-old British man was convicted on Monday for a rape and murder committed nearly 60 years ago, in one of the UK's longest-running cold cases.
- 1 Jul 2025 - Isiolo governor's impeachment escalates to full Senate plenary
- 1 Jul 2025 - For Nairobi United to rise, mighty Gor Mahia had to fall
- 1 Jul 2025 - IG Kanja, DCI ordered to produce missing blogger
- 1 Jul 2025 - Inside 16-year pension tussle pitting Stanchart against its 629 ex-staff
- 1 Jul 2025 - Study exposes violations against women workers
- 1 Jul 2025 - Disputes, water crisis stall Tana rice project