Skip to main content
Skip to main content

Wizara ya Afya yafanya msako wa nyama isiyokaguliwa

  • | Citizen TV
    456 views
    Duration: 1:36
    Katibu wa Afya ya umma na viwango vya kitaaluma Mary Muthoni amewaonya wamiliki wa buchari wanaouza nyama bila kukaguliwa, akisema hali hiyo inahatarisha maisha ya wakenya.