Skip to main content
Skip to main content

Wizara ya Afya yaidhinisha hospitali 8 za kigeni kutoa matibabu kwa Wakenya

  • | Citizen TV
    478 views
    Duration: 2:39
    Wizara ya Afya imeidhinisha hospitali 8 za nchi za nje kutoa matibabu kwa wakenya kupitia Mamlaka ya Afya ya Jamii, SHA. Hospitali hizo ambazo zitatoa matibabu baada ya wagonjwa kupata rufaa zimeidhinishwa kutumia shilingi 500,000, kwa matibabu maalum ambayo hayapatikani humu nchini. Haya yanajiri huku mshukiwa wa ulaghai wa SHA Harun Liluma akishtakiwa kwa makosa kadhaa ya ulaghai na kuendesha vituo 8 vya afya bila leseni.