Skip to main content
Skip to main content

Wizara ya afya yawataka wazazi kuchunga watoto wao dhidi ya mihadarati

  • | Citizen TV
    772 views
    Duration: 1:06
    Wizara ya afya imetoa tahathari kwa wazazi kuchunguza mienendo ya watoto wao ili kukabilina na utumizi wa dawa za kulevya, ikisema hulka hii imesambaa sana na inachochewa pakubwa na mabadiliko ya mitindo.