24 Feb 2026 1:43 pm | Citizen TV 280 views Duration: 1:36 Wizara ya Elimu imetoa onyo kali dhidi ya watu wasiosajiliwa na Tume ya Huduma kwa Walimu kuingia shuleni na kutoa mafunzo yoyote, ikiwemo uigizaji pamoja na michezo mbalimbali kwa wanafunzi.