- 8 views
Wizara ya kilimo imeonya kuhusu uwezekano wa taifa kushuhudia ukame kati ya mwezi oktoba na disemba mwaka huu, hali hii ikitarajiwa kuwaathiri zaidi wafugaji hasa kwenye maeneo kame kutokana na kupungua kwa malisho ya mifugo.hata hivyo, wizara ya kilimo imebuni kundi maalum linaloangazia usalama wa lishe ya mifogu ili kuzuia hali ya mifugo kuangamia kwa kiasi kikubwa kama ilivyoshuhudiwa mwaka 2022 wakati taifa lilikumbwa na janga la ukame.kulingana na dkt. Stanely mutua ambaye ndiye mkuu wa kitengo cha mifugo kwenye wizara ya kilimo, mikakati ipo ikiwamo uhifadhi pamoja na ugavi bora wa vyakula vya mifugo hasa katika maeoneo kame nchini ili kuzuia majanga zaidi. __
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
*About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __
Wizara ya Kilimo yaonya kuhusu uwezekano wa ukame katika miezi zijazo
- 5 May 2025 - South African troops withdrawing from the conflict in the eastern Democratic Republic of Congo have begun assembling in Tanzania and most should return home this month, the defence chief said on Sunday.
- 5 May 2025 - US President Donald Trump said in a television interview airing Sunday that he does not know whether he must uphold the US Constitution.
- 5 May 2025 - Dutch airline KLM announced the cancellation of two more long-distance flights on Sunday a day after it grounded seven Boeing 787s because of technical concerns, Dutch press agency ANP said.
- 5 May 2025 - Nearly a year after the bloodshed, not a single conviction has been secured. The government remains silent, even as autopsy reports confirmed that gunshot wounds and blunt force trauma were the leading causes of death among the 60 recorded fatalities.
- 5 May 2025 - Speaking during an empowerment forum for local traders in Gatundu North, Kindiki asserted that the Kenya Kwanza administration's main challenge is not political alliances but the commitment to deliver on its promises to the Kenyan people.
- 5 May 2025 - After Raila loses, riots erupt then deal follows
- 5 May 2025 - Self-medication is a risk you can't afford
- 5 May 2025 - Opposition: We will send Ruto home in 2027
- 5 May 2025 - Poor pest control hurting maize production in the country
- 5 May 2025 - The 12 minutes call that sparked a mother's hope for son's return