- 149 views
Wizara ya Mazingira kaunti ya Kisii imezindua wanakamati watakaohudumu kwenye kamati ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kutoka wadi 45. Hii ni mojawapo ya njia za kutoa hamasisho kwa wananchi kujihusisha katika utunzi wa mazingira. Uzinduzi wa wanakamati hao uliofanyika katika ukumbi wa Taasisi ya Mafunzo ya wakulima mjini Kisii(ATC) pia unatarajia kuwashirikisha ufadhili kutoka serikali ya kaunti ya Kisii kufanikisha shughuli hiyo. Maswala ya utunzi wa vyanzo vya maji na kukabili miti ya mikalatusi ingali changamoto, serikali ya kaunti hiyo ikisema mikakati imewekwa kukabili
Wizara ya Mazingira kaunti ya Kisii yazindua wanakamati wakuweka mikakati na kuhamasisha wakaazi
- 12 Aug 2025 - The DP said the decision by President William Ruto remains in force and is meant to do away with past discriminatory tendencies targeting some communities.
- 12 Aug 2025 - Milimani Senior Principal Magistrate Carolyne Mugo issued the order following a request by the prosecution for three days to compile the report.
- 12 Aug 2025 - Nominated Senator Hezena Lemaletian has secured temporary court orders restraining her estranged boyfriend, Musa Hussein Lenyumpa, from harassing or contacting her in any way.
- 12 Aug 2025 - The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has revoked a Privately Initiated Proposal (PIP) to construct the Nairobi-Mombasa (Usahihi) expressway.
- 12 Aug 2025 - The agreement was reached during the 7th Session of the Kenya–Iran Joint Commission for Cooperation (JCC) held in Nairobi, co-chaired by Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and Iran’s Minister of Agricultural Jihad, Dr. Gholamreza Nouri Ghezalcheh.
- - President Ruto: Youth are Kenya’s greatest asset in shaping the nation’s future
- - Ojwang murder: Court orders pre-bail report in computer fraud case against Brian Rono
- 12 Aug 2025 - The university has been faced with numerous financial crises.
- 12 Aug 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has recovered public land in Kakamega valued at Ksh.20 million belonging to the Ministry of Housing.
- 12 Aug 2025 - Senior Principal Magistrate Dolphina Alego dismissed the request, ruling that Khatwani had failed to present sufficient justification for the release of his travel document, which is currently held in court as part of his bail conditions in a Sh356…