Skip to main content
Skip to main content

Wizara ya mazingira pamoja na idara ya misitu nchini yalenga kuimarisha msitu wa Mau

  • | Citizen TV
    146 views
    Duration: 1:46
    Wizara ya mazingira pamoja na idara ya misitu nchini zimesema kuwa mpango wa serikali wa “linda mau, boresha maisha” unaolenga kupanda miti katika ekari elfu 33 za msitu wa Mau zilizoharibiwa na wananchi unahitaji miche milioni tatu kabla ya kuanza kwa msimu wa mvua za masika.