Skip to main content
Skip to main content

Wizi wa maji wachangia uhaba wa maji kaunti ya Mombasa

  • | Citizen TV
    608 views
    Duration: 3:03
    Gavana wa Mombasa Abulswamad Sharif Nassir amekiri kwamba uhaba wa maji umekuwa kero kwa wakazi. Hii ni baada ya wakazi kulalamikia ukosefu wa bidhaa hiyo muhimu