Skip to main content
Skip to main content

Zaidi ya familia 300 zahodia mafuriko Witemere, Nyeri

  • | Citizen TV
    187 views
    Duration: 1:38
    Zaidi ya familia 300 zinazoishi kwenye mtaa wa mabanda wa Witemere Nyeri mjini, zinaishi na hofu ya kusombwa na maji kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha.