- 2,477 views
zaidi ya nyumba 1,200 katika eneo la Merti kaunti ya Isiolo wamelazimika kuhama kwao kufuatia mafuriko. Hii ni baada ya mto Ewaso Nyiro kuvunja kingo zake na maji kuzingiramji wa Merti. takriban shule saba zimeathirika na mafuriko huku misikiti minne pia ikijaa maji. usafiri wa watu na uchukuzi wa mizigo umetatizika huku barabara zinazotumiwa kusafirisha bidhaa na chakula zikiharibiwa na mafuriko na kusababisha magari kukwama kati ya eneo la Bulesa na Merti. wakazi wanahofia kuwa hali hiyo itasababisha uhaba wa chakula. aidha kuna hofu ya mlipuko w amaradhi kutokana na vyoo kusombw ana maji. gavana wa kaunti ya isiolo Abdi Ibrahim Guyo ambaye alizuru maeneo yaliyoathirika amewataka wakazi kuchukua tahadhari wakati huu ambapo mvua kubwa inazidi kunyesha.
Zaidi ya nyumba 1,200 zimesombwa na maji Isiolo
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - Kiharu Member of Parliament and Chairman of the Budget Committee Ndindi Nyoro has reassured Kenyans that their views will be thoroughly considered before the implementation of the 2024-2025 Finance Bill.
- 19 May 2024 - Three employees of the Sports, Arts and Social Development Funds (SASDF) were on Friday arraigned at the Milimani Law Courts for using fake academic credentials to secure employment within the public service.
- 19 May 2024 - According to police reports, Mr. Lang'at Kosgey, the area assistant chief of Seretunin Sub-location, reported the murder to the station.
- 19 May 2024 - Two Nigerian nationals and a Kenyan woman have been apprehended by officers from the anti-narcotic unit on suspicions of engaging in cocaine, heroin and Methamphetamine trafficking.
- 19 May 2024 - At about 10:30 a.m., a Washtenaw County Sheriff's deputy responded to a welfare check in the 1300 block of W. Warner Street after the woman's family reported not hearing from her for several days.
- 19 May 2024 - The bereaved father, who lives near the Rumaila field in the southern province of Basra, is demanding that the firm compensate him for his son Ali's medical expenses, which have left him in crushing debt.
- 19 May 2024 - Some Canadian provinces have logged a jump in unclaimed dead bodies in recent years, with next of kin citing funeral costs as a growing reason for not collecting loved ones' remains.
- 19 May 2024 - The fishing vessel got into difficulty on Friday but local officials said they had not given up hope for the men, despite air and sea searches turning up no trace.
- 19 May 2024 - Usukhjargal Tsedendamba, 53, and Purevsuren Lkhagvajav, 31, were last in contact Sunday evening from Camp 4, which is situated less than a kilometre (0.6 miles) below the summit.
- 19 May 2024 - According to the Gazette Notice, the land would be under the management of the State Department for Social Protection and Senior Citizen Affairs.