Zaidi ya watoto 400 wenye umri miaka 14 waandikishwa na watendaji wenye silaha
Zaidi ya Watoto 400 mashariki mwa DRC waliandikishwa na watendaji wenye silaha Januari na February mwaka huu huku wengine wakiwa na umri wa miaka 14 na wengine walichukuliwa kutoka kwenye shule na mitaani na kuwekwa katika hatari ya ghasia , shirika la save the children limesema na kunukuu katika tovuti yake.
Wafanyakazi wa ndani wa save the children walioko katika ulinzi wa Watoto kaskazini na kusini mwa jimbo la Kivu waliandika kesi mpya zaidi ya 400 kukiwa na makundi yenye silaha baina ya mwezi January na February mwaka 2025, wakati ghasia zilizozuka mashariki mwa nchi.
Baadhi ya watoto wanaripotiwa kuchukuliwa kutoka kwenye jumuiya zao na kupelekwa kwenye misitu kwa ajili ya kupatiwa mafunzo jinsi ya kutumia silaha bila matakwa yao.
Save the children inatoa msaada kwa watoto ambao wameachiliwa kutoka makundi yenye silaha . Mwaka 2024 kundi hilo lilisaidia takriban watoto 220 ambao awali walijihusisha na makundi yenye silaha katika majimbo ya Ituri , Kivu kaskazini na Kivu Kusini.
Watoto hawa wanapatiwa mafunzo ya kisaikolojia na msaada wa kiuchumi kwa ajili ya kuwawezesha kurejea kwenye jumuiya zao.
#watoto #silaha #drc #savethechildren #vita #jumuiya #familia #mafunzo #voa #voaswahili
5 Jul 2025
- Doctors have credited the 'folds' with playing a crucial role in one's hearing.
5 Jul 2025
- Gachagua said this during her aunt's burial ceremony.
5 Jul 2025
- ODM was responding to The Standard Media's 'Raila's Turf Rebels' article.
6 Jul 2025
- The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
5 Jul 2025
- Opposition leaders have come out guns blazing to condemn President William Ruto's stance on constructing a church within the State House precincts, using what the president describes as his own money.
5 Jul 2025
- A family in Eldoret, Uasin Gishu County, is mourning the loss of their son, Timothy Bwibo, who succumbed to gunshot injuries on Friday night.
5 Jul 2025
- Former Meru Governor Kawira Mwangaza has been named the new party leader of Umoja na Maendeleo Party, taking over from Charles Wambora Mugambi.
5 Jul 2025
- President William Ruto has replaced former Kesses Member of Parliament Dr. Swarup Mishra as the chair of the Kenya BioVax Institute, three months after suspending him.
5 Jul 2025
- Duale urged counties and health workers to help enforce the policy.
5 Jul 2025
- Ruto has appointed John Munyu as the Non-Executive Chairperson of the Pharmacy and Poisons Board.
5 Jul 2025
- The general claimed Kenyan police have not achieved tangible progress despite being on the ground for months.
5 Jul 2025
- The youth leader was rearrested a few minutes after being released on cash bail.
5 Jul 2025
- The Orange Democratic Movement (ODM) has slammed media reports which claimed that the party leader, Raila Odinga, is losing popularity in his backyard of Nyanza due to the events that unfolded during the burial of late teacher Albert Ojwang' at Kakoth…