Zaidi ya watoto 400 wenye umri miaka 14 waandikishwa na watendaji wenye silaha
Zaidi ya Watoto 400 mashariki mwa DRC waliandikishwa na watendaji wenye silaha Januari na February mwaka huu huku wengine wakiwa na umri wa miaka 14 na wengine walichukuliwa kutoka kwenye shule na mitaani na kuwekwa katika hatari ya ghasia , shirika la save the children limesema na kunukuu katika tovuti yake.
Wafanyakazi wa ndani wa save the children walioko katika ulinzi wa Watoto kaskazini na kusini mwa jimbo la Kivu waliandika kesi mpya zaidi ya 400 kukiwa na makundi yenye silaha baina ya mwezi January na February mwaka 2025, wakati ghasia zilizozuka mashariki mwa nchi.
Baadhi ya watoto wanaripotiwa kuchukuliwa kutoka kwenye jumuiya zao na kupelekwa kwenye misitu kwa ajili ya kupatiwa mafunzo jinsi ya kutumia silaha bila matakwa yao.
Save the children inatoa msaada kwa watoto ambao wameachiliwa kutoka makundi yenye silaha . Mwaka 2024 kundi hilo lilisaidia takriban watoto 220 ambao awali walijihusisha na makundi yenye silaha katika majimbo ya Ituri , Kivu kaskazini na Kivu Kusini.
Watoto hawa wanapatiwa mafunzo ya kisaikolojia na msaada wa kiuchumi kwa ajili ya kuwawezesha kurejea kwenye jumuiya zao.
#watoto #silaha #drc #savethechildren #vita #jumuiya #familia #mafunzo #voa #voaswahili
15 Jun 2025
- At the moment, Super petrol is retailing at Ksh177.32, diesel at Ksh162.91, and kerosene at Ksh146.93 per litre.
15 Jun 2025
- The ODM party has since joined the governor in mourning.
15 Jun 2025
- 169 more companies are set to shut down in the next three months.
15 Jun 2025
- President William Ruto’s aide Farouk Kibet, has accused former Deputy President Rigathi Gachagua of fuelling recent protests in Nairobi city.
15 Jun 2025
- Seven people including a toddler were killed Sunday in India when a helicopter ferrying Hindu pilgrims from a shrine crashed in the Himalayas, officials said.
15 Jun 2025
- When the policemen came for Albert Ojwang - the Kenyan blogger whose death in custody sparked protests this week and prompted a rare acknowledgement of police brutality by the president - his wife initially thought he would be safe.
15 Jun 2025
- At the moment, Super petrol is retailing at Ksh177.32, diesel at Ksh162.91, and kerosene at Ksh146.93 per litre.
15 Jun 2025
- The ODM party has since joined the governor in mourning.
15 Jun 2025
- Firm owned by the late Peter Muigai Kenyatta, John Muigai and Richard Muigai, reportedly owes the county Sh118m.
15 Jun 2025
- 169 more companies are set to shut down in the next three months.
15 Jun 2025
- KISUMU, Kenya, Jun 15 – Politicians in the country have been warned against using the untimely death of blogger Albert Ojwang in a police cell to advance their political interests. Principal Secretary Ministry of Interior and National Coordination…
15 Jun 2025
- Some of those whose tenures have been extended are his appointees.
15 Jun 2025
- Stepping foot in the capital Nuuk this morning, Macron will be met with chilly and blustery weather, but despite the cold conditions, he'll be greeted warmly.