- 191 views
Zaidi ya watu milioni 800 barani Afrika wanakumbwa na uhaba wa chakula. Hii ina maana kuwa takribani asilimia 39 ya watu katika bara hili wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa chakula cha kutosha. mabadiliko ya tabia nchi, uharibifu wa ardhi na changamoto nyingine zinakithirisha taswira hiyo. Wiki hii, Kenya iliandaa kongamano lililofanyika katika makao makuu ya shirika la umoja wa mataoifa linaloshughulikia mazingira ,UNEP, jijini Nairobi, ambapo wanasayansi, watafiti na wadau katika sekta ya chakula kutoka pembe zote za dunia walikutana kuwasilisha suluhisho linaloongozwa na utafiti wa kisayansi katika kukabiliana na changamoto hiyo.
Zaidi ya watu milioni 800 barani Afrika wakumbwa na uhaba wa chakula
- - Duniani Leo ››
- 21 Apr 2025 - Embakasi East Member of Parliament (MP) Babu Owino has suggested a potential joint presidential bid in 2027 with his Kiharu counterpart Ndindi Nyoro.
- 21 Apr 2025 - A number of people are feared dead after a septic tank collapsed beneath a local football viewing hall in Bamburi Mwisho area, Nyali Constituency, Mombasa County.
- 21 Apr 2025 - The former cabinet secretary decried a lack of autonomy in making major appointments.
- 21 Apr 2025 - South Sudan government retakes flashpoint Nasir town
- 21 Apr 2025 - Plans ahead
- 21 Apr 2025 - South Korea ex-president back in court for criminal trial
- 21 Apr 2025 - The anti-terror and other tactical security teams have been strategically deployed at various undisclosed locations within the region to beef up security.
- 21 Apr 2025 - The ravaging rains continue to expose more acres of land in the area to the danger.
- 21 Apr 2025 - Officials have not complied to 'avoid fuelling religious tension'.
- 21 Apr 2025 - Raila was speaking after meeting coastal residents.