Zambia yapokea shehena ya dawa mpya ya kuzuia maambukizi ya HIV

  • | VOA Swahili
    137 views
    Zambia imepokea shehena ya kwanza ya dawa mpya ya kuzuiya maambukizi ya HIV. Uwasilishaji huu unaifanya Zambia kuwa nchi ya pili pekee duniani baada ya Marekani kutoa dawa kwa njia ya sindano ya kuzuiya maambukizi, nje ya mazingira ya utafiti. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.