Zoezi la kuondoa matope kufuatia maporomoko linaendelea wilaya ya Hanang
Mamlaka katika Wilaya ya Hanang, Mkoa wa Manyara nchini Tanzania imeanza kuondoa matope yaliyosambaa barabarani kufuatia mafuriko na maporomoko ya ardhi yaliyotokea nchini siku ya Jumapili.
Kwa mujibu wa vyanzo vya habari mbalimbali nchini Tanzania Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mafuriko imefikia zaidi ya watu 60. Zaidi ya watu 80 wamejeruhiwa vibaya kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika eneo la Manyara, Kwa mujibu wa serikali ya Tanzania.
Mafuriko makubwa yaliyosababishwa na El Nino yamesababisha vifo vya mamia ya watu nchini Kenya na Somalia na kuwalazimisha maelfu ya watu kuyahama makazi yao tangu mvua za msimu zilipoanza mwezi Oktoba.
Operesheni ya uokoaji inaendelea katika mkoa wa Manyara huku mamlaka ikihofia baadhi ya miili inaweza kunaswa kwenye matope, mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga aliwaambia waandishi wa habari Jumapili jioni.
Kupitia njia ya Video iliyowekwa mtandaoni wa wizara ya AFya , Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alituma salamu za rambirambi kwa familia zilizoathiriwa na kutoa idadi ya waliofariki na majeruhi ambao wanaendelea kupatiwa matibabu hospitalini huku wengine wakiruhusiwa kuondoka. Zaidi ya nyumba 100 zimeathiriwa na maporomoka hayo.
Mabadiliko ya hali ya hewa yamesababisha madhara makubwa ya hali ya hewa mara kwa mara, kulingana na wanasayansi wa hali ya hewa. - Reuters
#mafuriko #haliyahewa #vifo #Tanzania #mkoa #manyara #hanang #wilaya #voa #voaswahili
9 May 2025
- The multi-billion-shilling road project is set to be constructed in three phases.
9 May 2025
- The government gave updates ahead of the much-anticipated CHAN tournament.
9 May 2025
- Prime time is packed with headlines — but how much did you grasp? Take our quiz to find out how well you followed this week’s biggest stories.
9 May 2025
- Thursday, May 8, 2025, marked the election of the worldwide Pontiff of the Roman Catholic Church. Cardinal Robert Francis Prevost, the 267th Pontiff, was elected Pope and Archbishop of Rome and from now henceforth will be known as Pope Leo XIV.
9 May 2025
- Students and activists in Bungoma County have expressed anger following the court ruling on Thursday, which declined to stop the auction of properties belonging to Matili Technical Training Institute by a private developer.
9 May 2025
- Public Service, Human Capital Development and Special Programmes Cabinet Secretary Geoffrey Ruku has outlined a raft of measures aimed at addressing systemic procurement irregularities within the National Youth Service (NYS).
9 May 2025
- High Court judge Lawrence Mugambi has dismissed a case filed by Eldoret-based singer William Getumbe, known for his controversial song 'Yesu Ninyandue'.
9 May 2025
- President William Ruto has called for reimagining of global heritage standards so as to reflect African realities better at the close of International Conference on Cultural Heritage and Authenticity in Africa.
9 May 2025
- The Ministry of Education has dismissed appointments made by the University of Nairobi Council, terming the process as unlawful.
9 May 2025
- The JKIA Law Courts has dismissed an application filed by five suspects seeking to challenge the court’s jurisdiction in a case connected to the murder of Kasipul Member of Parliament Charles Were.
9 May 2025
- The JKIA Law Courts has dismissed an application filed by four suspects seeking to challenge the court’s jurisdiction in a case connected to the murder of Kasipul Member of Parliament Charles Were.
9 May 2025
- Joho argues loan was advanced by Chase Bank, not SBM.
9 May 2025
- Confusion abounded after conflicting reports regarding the operational status of the Music Copyright Society of Kenya (MCSK) CEO Ezekiel Mutua were released to the public.