- 2,310 viewsDuration: 1:34Shughuli za uchukuzi na hata biashara zilitatizika mjini Nyeri mapema leo kufuatia mgomo wa wahudumu wa matatu, wanaolalamikia agizo la serikali kuwataka kuhamia sehemu nyingine ya kuegesha magari yao. Wahudumu hawa wakidinda kuhamia steji ya Field Marshal Muthoni Kirima, wakisema itawaacha bila biashara