Maandamano kulaani vita yaongezeka katika Vyuo Vikuu Marekani
Maandamano ya wanaounga mkono Wapalestina yameongezeka katika vyuo vikuu vya juu vya Marekani siku ya Jumatatu.
Baada ya usiku kuingia, polisi wa kutuliza ghasia wakiwakabili waandamanaji katika Chuo Kikuu cha New York na kuwakamata watu wengi.
Mamia ya waandamanaji walikaidi amri ya chuo kikuu kuondoka kwenye uwanja ambako walikusanyika.
Waandamanaji walikuwa wanapiga kelele wakiitaka mamlaka ya Chuo Kikuu cha New York, NYU kuachana na juhudi zinazohusishwa na vita vya Israel huko Gaza. Katika Chuo Kikuu cha Columbia cha New York, polisi waliwazuia waandamanaji kadhaa.
Maandamano yanayoendelea katika vyuo vikuu ni taswira ya kuongezeka kwa mzozo kati ya Israel na Palestina, ulioanza tarehe 7 Oktoba kwa shambulio baya la wanamgambo wa Kiislamu wa Hamas nchini Israel, na jibu kali la Israel katika Gaza inayodhibitiwa na Hamas.
#Waandamanaji #chuokikuu #columbiauniversity #newyork #marekani #wanafunzi #polisi #palestina #wapalestina #hamas #israel #voa #voaswahili
11 May 2024
- "The police informed me that it could be a trick played by her friends," Faith's father said. Days later, he found his daughter's lifeless body at her house.
11 May 2024
- Meanwhile, Willis Raburu also hinted at his next step after leaving TV47.
11 May 2024
- Preliminary investigations have revealed that the couple had a troublesome marriage, with possible cases of infidelity.
11 May 2024
- The Biden administration on Friday said Israel's use of U.S.-supplied weapons may have violated international humanitarian law during its military operation in Gaza, in its strongest criticism to date of Israel.
11 May 2024
- Environment Climate Change and Forestry Cabinet Secretary Suipan Tuya has revealed that the Friday Tree Planting holiday was more successful than the first one last year.
11 May 2024
- Seven people were killed when a bus with an estimated 20 people on board crashed into a river in the northern Russian city of St Petersburg on Friday, officials said.
11 May 2024
- Prince Harry and his wife Meghan Markle visited Nigeria on Friday as part of his promotion of the Invictus Games, the sporting event he founded for wounded military veterans.
11 May 2024
- "The police informed me that it could be a trick played by her friends," Faith's father said. Days later, he found his daughter's lifeless body at her house.
11 May 2024
- Chad has ordered the immediate deployment of troops to maintain peace, especially in the capital, N'djamena, after provisional results of the May 6 presidential elections.
11 May 2024
- The United Nations General Assembly has enhanced Palestine's rights within the organisation and called for it to be accepted as a member. Palestine has had non-member observer state status since 2012, which allows some rights short of a full member.…
11 May 2024
- Mbappe confirms he will leave PSG at end of season
11 May 2024
- US, China pledge joint methane action at climate talks
11 May 2024
- US to raise tariffs on Chinese electric vehicles: report