- 7,097 views
Polisi wameiomba mahakama ya Shanzu kaunti ya Mombasa kumzuilia mhubiri Ezekiel Odero kwa siku thelathini ili waweze kukamilisha uchunguzi dhidi yake. Maafisa wa polisi wanachunguza hatia kadhaa za mhubiri huyo ikiwemo ulanguzi wa fedha, mauaji, kusaidia watu kujitoa uhai na kufundisha itikadi kali pamoja na kutesa watoto. Ezekiel alikamatwa jana baada ya kujiwasilisha polisi na kuhojiwa kwa saa kadhaa. aidha kwenye stakabadhi za polisi mahakamani, majasusi wanauhakika kuwa watu kadhaa wa kanisa lake la New Life Prayer Centre walifariki kati ya mwaka uliopita na mwaka huu.
Polisi waiomba mahakama kumzuilia mhubiri Ezekiel Odero kwa siku 30
- 30 Apr 2024 - The International Committee of the Red Cross (ICRC) has stabilised its finances after drastic crisis cuts, its new director said in comments published Monday.
- 30 Apr 2024 - Death and destruction in Mai Mahiu, Naivasha Nakuru County are the latest effects of the ongoing heavy rains.
- 30 Apr 2024 - Local official Olga Bobadilla told RPP radio the incident late Sunday happened on a potholed dirt road in the Andean region of Cajamarca, "and the bus fell into an abyss" some 200 meters (some 650 feet) deep.
- 30 Apr 2024 - Yatani accuses EACC of malice over Sh1.2 billion graft probe
- 30 Apr 2024 - Public officers to join doctors in weekly protests
- 30 Apr 2024 - Logistics firm eyes bigger market pie after MSC pact, rebrand
- 30 Apr 2024 - At least 48 killed after dam burst its banks
- 30 Apr 2024 - The situation at the Kisumu bus terminus on Monday morning was dire, with tens of students with packed bags remaining stranded as their journey to school for the second term was cut short.
- 30 Apr 2024 - Heavy floods persistently ravage properties while also causing damage to roads and infrastructure, disrupting transportation services in numerous counties.
- 30 Apr 2024 - Kenyan retailers ready to pounce as Ethiopia to open up market