Skip to main content
Skip to main content

Ruto awasili Washington kwa mkataba wa amani na ushirikiano wa afya

  • | Citizen TV
    8,359 views
    Duration: 58s
    Rais William Ruto amewasili jijini Washington DC Marekani kwa hafla ya kutia saini mkataba wa amani kati ya nchi ya DRC na Rwanda, itakayofanyika katika ikulu ya White House.