Skip to main content
Skip to main content

Jeshi la polisi Tanzania lapiga marufuku maandamano ya Desemba 9. Katika Dira ya Dunia TV

  • | BBC Swahili
    28,055 views
    Duration: 28:11
    Jeshi la Polisi leo limepiga marufuku maandamano yaliyopangiwa kufanyika Disemba 9, ambayo ni Jumanne wiki ijayo. Aidha Jeshi hilo limetoa onyo kali kwa yeyote atakayejiunga nayo. Msemaji wa Jeshi hilo David Misime amesema kanuni za kisheria kuhusu maandamano hazijafuatwa. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw