Skip to main content
Skip to main content

Familia za wahasiriwa wa ajali ya Chabera waandaa ibada ya pamoja ya wafu

  • | Citizen TV
    1,504 views
    Duration: 2:48
    Familia za watu kumi waliofariki kwenye ajali ya barabarani jumapili usiku katika eneo la Chabera, Homa Bay zimeandaa ibada ya pamoja ya wafu siku ya jumanne kabla ya mazishi. Familia hizo zimeanza maandalizi ya mazishi huku bi harusi, ambaye jamaa hao walifariki wakitoka kwenye harusi yake, akizungumzia mkasa huo uliogeuza siku ya furaha kuwa ya majonzi.