Skip to main content
Skip to main content

Wandani wa Gachagua wamtaka waziri Ruku kujiuzulu

  • | NTV Video
    1,471 views
    Duration: 1:31
    Viongozi wa Chama cha DCP kutoka Kaunti ya Embu wamemtaka Rais William Ruto kuchukua hatua dhidi ya Waziri wa Huduma za Umma, Geoffrey Ruku, kufuatia matamshi wanayosema yanaweza kuchochea mgawanyiko katika eneo la Mlima Kenya kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2027.