Skip to main content
Skip to main content

Basi la kampuni ya Mash Poa lachomwa Salgaa

  • | NTV Video
    9,858 views
    Duration: 4:26
    Mamlaka ya kudhibiti usalama barabarani (NTSA) imedhibitisha tukio la kuchomwa kwa basi la kampuni ya Mash Poa usiku wa kuamkia leo katika eneo la Salgaa, kaunti ya Nakuru. Basi hilo, lilikuwa likielekea Uganda kutoka Mombasa, lilipata ajali na kusababisha kifo cha mwendeshaji bodaboda aliyehusika kwenye tukio hilo.