Skip to main content
Skip to main content

TIFA: Baadhi ya Wakenya waliohojiwa watarajia ODM kurejea upinzani 2027

  • | KBC Video
    476 views
    Duration: 3:32
    Asilimia 38 ya wakenya wana imani ila wamegawika kuhusiana na uwezo wa upinzani wa kuungana na kumuunga mkono mgombea mmoja wa rais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Kulingana na kura ya maoni iliyotekelezwa hivi maajuzi na kampuni ya utafiti ya Trends and Insights For Africa (TIFA) baina ya tarehe 10 na 17 mwezi Novemba wakenya wengi waliibua wasiwasi kuhusiana na upinzani ulioungana kwa kutotangaza mgombea wanayempendelea kabla ya uchaguzi huo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive