Skip to main content
Skip to main content

Serikali yatoa makataa ya siku tano kwa wadai wa ardhi ya misitu Trans Nzoia

  • | Citizen TV
    316 views
    Duration: 2:11
    Serikali imetoa makataa ya siku tano kwa watu wanaodai kumiliki ardhi ya misitu katika maeneo ya Makunga, Ex-Smith, Rest, Teldet, misitu ya Triangle na shamba la Shirika la Ustawishaji Kilimo nchini ADC la Japata, Kaunti ya Trans Nzoia, kuondoka mara moja. Hatua hiyo inalenga kutoa nafasi kwa mazungumzo ya maridhiano na kutafuta suluhu ya kudumu ya mgogoro wa ardhi uliodumu kwa muda mrefu.