Skip to main content
Skip to main content

Wafanyabiashara wanatarajia msaada wa serikali mwaka 2026 baada ya kudorora kwa biashara 2025

  • | Citizen TV
    319 views
    Duration: 2:04
    Huku mwaka Wa 2025 ukifika ukingoni wafanyibiashara wengi humu nchini na wakimataifa walalama kuhusu kudorora kwa biashara wakielekeza matumaini yao Kwa serikali kuwapiga jeki mwaka Mpya 2026.