Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa makanisa wakiwa tayari kupinga Mswada wa Mashirika ya Kidini 2024

  • | Citizen TV
    1,134 views
    Duration: 2:29
    Saa chache kabla wakenya kuvuka mwaka mpya, viongozi wa makanisa mbalimbali chini ya mwavuli wao wa Evangelical Alliance of Kenya, sasa wanasema wakotayari kupambana na Mswada wa mashirika ya Kidini 2024 unaoandaliwa wa kudhibiti shughuli zote za makanisa nchini.